Skip to main content

VVJS Slideshow Example

VVJS Slideshow Demo

This slideshow displays your published Article content in teaser format. Create articles to see them appear here.

Slideshow
Slide 1 selected
Serikali kushirikiana na SUA kutunza eneo la Utalii wa Kihistoria
Serikali kushirikiana na SUA kutunza eneo la Utalii wa Kihistoria
Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Pauline Gekul amesema serikali kupitia Programu ya Urithi wa Ukombozi wa Bara la Afrika itaendelea kushirikiana na Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kuyaendeleza, kukarabati na kutunza kumbukumbu zote za kihisitoria  zilizoachwa na wapigania uhuru wa Afrika ya Kusini katika eneo la Kampasi ya Solomon Mahlangu.