17
Jan
Waziri wa Habari Mawasiliano na Teknolojia Mhe. Nape Moses Nnauye ameupongeza Uongozi wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo kwa kuanzisha Kampasi ya Mizengo Pinda Mkoani Katavi kikakati ili kuinua Elimu na Jamii ya Mikoa inayozalisha asali na mazao ya chakula kwa wingi.